ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, June 23, 2025

WAAMUZI WA DERBY YA KARIAKOO YANGA v SIMBA WANATOKA MISRI

 

 MWAMUZI Amin Mohamed Omar kutoka nchini Misri atasimamia sheria zote za soka katika pambano la watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba Jumatano wiki hii Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Taarifa ya Bodi ya Ligi (TPLB, imeeleza kuwa mwamuzi huyo atasaidiwa na Mahmoud Ahmed Abo na Samir Gamal Saad, huku mwamuzi wa akiba akiwa ni Ahmed Mahrous wote kutoka Misri. Mtathimini waamuzi ni Ali Mohamed kutoka Somalia.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment