HALMASHAURI ya wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imesema kwamba itaendelea kuwaunga mkono madiwani ambao watakaoanzisha Ligi mbalimbali katika maeneo yao kwa lengo la kuhamasisha michezo na kufungua fursa za ajira kupitia sekta hiyo.
Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Muheza Issa Msumari wakati Fainali ya Ligi ya Erasto Cup ambayo imeanzishwa na Diwani wa Kata ya Tongwe Erasto Mhina ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri kwa lengo la kuhamasisha vijana kushiriki kwenye michezo.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.