NA VICTOR MASANGU,VIGWAZA PWANI..TV..TANRODS
WAKALA wa barabara nchini (TANROAD) Mkoa wa Pwani umewataka baadhi ya madereva wa vyombo vya moto hasa magari makubwa kufuata sheria na utaratibu uliowekwa katika changamoto zao zinazowakabili kuliko kutoa taarifa ambazo sio sahihi kwa kutumia mitandao ya kijamii na kuzua taaruki na sintofahau kwa jamii.
Uongozi wa Tanroad Mkoa wa Pwani umetoa kauli hiyo kufuatia malalamiko yaliyotolewa na mmoja wa dereva kutoka Kampuni ya Simba logistic Pamela James ambaye alidai kubambikiwa uzito katika mizani ya vigwaza mkoani Pwani tarehe 13 Machi wakati akiwa amebeba mzigo wa kopa akitokea nchini Kongo.
INSERT 1
.TV PAMELA LUKUMBI
Dereva wa Malori Makubwa aliyekamatwa.
Kwa upande wake Meneja wa Tanrod Mkoa wa Pwani Mhandisi Baraka Mwambage kwa niaba ya mtendaji mkuu wa Tanrods Tanzania hakusita kuweka banaya changamoto kubwa iliyopelekea gari hiyo kuzuiliwa katika mizani ya Vigwaza.
INSERT..2 TV Mhandisi BARAKA MWAMBANGE
Meneja wa TANROAD Mkoa wa Pwani.
VICENT TARIMO ni mkuu wa kitengo kinachosimamia masuala ya mizani kutoka Tanrod Makao makuu hapa anaweka wazi makosa yaliyopelekea gari hilo kukamatwa.
INSERT..3 TV VICENT TARMO Tanrod makao makuu
kitengo cha usimamizi wa mizani.
Hivi karibuni kumekuwepo na baadhi ya madereva kukwepa Sheria ya udhibiti wa magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 inayomtaka msafirishaji mwenye gari inayoanzia tani tatu na nusu kupitia katika vituo vya mizani kwa ajili ya kuhakikisha uzito wa magari yao.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.