ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 20, 2025

TANRODS PWANI YAANIKA UKWELI MPUTU SAKATA LA BINTI DEREVA ALIYEKAMATWA MIZANI YA VIGWAZA

 NA VICTOR MASANGU,VIGWAZA PWANI..TV..TANRODS 


WAKALA wa barabara nchini (TANROAD) Mkoa wa Pwani umewataka baadhi ya   madereva wa vyombo vya moto hasa magari makubwa  kufuata sheria na  utaratibu  uliowekwa katika changamoto zao zinazowakabili kuliko kutoa  taarifa ambazo sio sahihi kwa  kutumia mitandao ya kijamii na kuzua taaruki na sintofahau kwa jamii. 

Uongozi wa Tanroad Mkoa wa Pwani  umetoa kauli hiyo kufuatia  malalamiko yaliyotolewa  na mmoja wa  dereva kutoka  Kampuni ya Simba logistic  Pamela James ambaye alidai  kubambikiwa uzito katika mizani ya vigwaza mkoani Pwani tarehe 13 Machi wakati akiwa amebeba  mzigo wa kopa akitokea  nchini  Kongo.

INSERT 1
.TV PAMELA LUKUMBI 
Dereva wa Malori Makubwa aliyekamatwa.
 
Kwa upande wake Meneja wa Tanrod Mkoa wa Pwani Mhandisi Baraka Mwambage kwa niaba ya mtendaji mkuu wa Tanrods Tanzania  hakusita kuweka banaya  changamoto kubwa iliyopelekea gari hiyo kuzuiliwa katika mizani ya  Vigwaza.

INSERT..2 TV Mhandisi BARAKA MWAMBANGE
Meneja wa TANROAD Mkoa wa  Pwani.

VICENT TARIMO ni mkuu wa kitengo kinachosimamia masuala ya mizani kutoka Tanrod Makao makuu hapa anaweka wazi makosa yaliyopelekea gari hilo kukamatwa.

INSERT..3 TV VICENT TARMO Tanrod makao makuu 
 kitengo cha usimamizi wa mizani.

Hivi karibuni kumekuwepo na baadhi ya madereva kukwepa Sheria ya udhibiti   wa magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 inayomtaka msafirishaji mwenye gari inayoanzia tani tatu na nusu kupitia katika vituo vya mizani kwa ajili ya kuhakikisha uzito wa magari yao.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.