KLABU ya Simba imetishia kutocheza mechi ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya Yanga leo baada ya usiku wa jana kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kwa mujibu wa kanuni.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.