ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 10, 2024

𝗕𝗨𝗞𝗢𝗠𝗕𝗘 𝗞𝗨𝗠𝗘𝗡𝗢𝗚𝗔....!! 🇹🇿✔️

 


𝗕𝗨𝗞𝗢𝗠𝗕𝗘 𝗞𝗨𝗠𝗘𝗡𝗢𝗚𝗔....!! 🇹🇿✔️


Heka heka za Mwalimu Day wilayani Bukombe zimeanza leo asubuhi kwa jogging moja matata kutoka ofisi ya Mkuu wa Wilaya hadi kwenye viwanja vya Kilimahewa tukiwa na Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu, ambaye pia ni Waziri wa Nishati na Mbunge wa jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Biteko pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Mh. Paskasi Mulagiri na viongozi wengine wa Wilaya pamoja na benki ya CRDB.

Sisi Jembe fm tunafurahi kuwa sehemu ya tukio hili adhimu, maalum kwa ajili ya walimu wetu wapendwa na wananchi wa Bukombe kwa ujumla.
















#Bukombe
#KusemaNaKutenda
#SikuYaMwalimu2024
#crdbbank
@jembefmtz 
@jembenijembe 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.