ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, September 17, 2024

RAS PWANI ATEMA CHECHE AWATAKA WAZAZI KUWALINDA NA KUWATUNZA WATOTO WAO

NA VICTOR MASANGU/PWANI. SAUTI YA ALBERT G. SENGO. Serikali Mkoani Pwani imewahimiza wazazi na walezi kuhakikisha wanaweka misingi imara katika kuwalinda na kuwatunza watoto wao katika mambo mbali mbali ikiwemo kukomesha kabisa vitendo vya ukatili wa kijinsia, kulinda usalama wao pamoja na maadili lengo ikiwa ni kupata vijana ambao watakuwa wazalendo na Taifa lao.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.