ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, September 11, 2024

LIJUWE ZAO LA MWANI LINALOONGEZA SIKU ZA KUISHI, KIBOKO YA MARADHI MENGI.

 

 

NA ALBERT G.SENGO/MWANZA

Mwani wa bahari si jambo geni kwa wazawa wa maeneo ya pwani, wengi hukusanya kwa matumizi ya biashara na wachache hujumuisha katika mlo wao.

Ndani ya maonesho ya biashara ya Afrika Mashariki Jembe Fm inapata wasaa kuzungumza na moja ya wakulima na mfanyabiashara wa zao hilo kutoka visiwa vya Zanzibar, ambaye anashawishi watu kujumuisha mwani katika milo yao, akisema kuwa mwani una faida nyingi kwa afya.

Na baadhi wamekua wakiita mwani kama 'Super food', lakini kuna ukweli wa jambo hili?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.