ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, August 21, 2024

RC KUNENGE AUNGURUMA AWAONYA WAKANDARASI WANAOKWEPA MIKATABA YAO YA KAZI

HABARI NA VICTOR MASANGU, PWANI SAUTI NA G.SENGO

 
SERIKALI  mkoani Pwani imesema kwamba haitowafumbia macho hata kidogo  wakandarasi ambao watakwenda kinyume na miongozo ya mikataba yao na kuwaagiza wahakikishe kwamba wanatekeleza miradi ya miundombinu ya barabara kwa kiwango ambacho kinatakiwa ikiwemo suala la kuwashirikisha wananchi  ili waweze kufahamu miradi inayotekelezwa.

Kunenge ametoa kauli hiyo wakati  wa halfa fupi  ya utiani wa saini wa mikataba  ya kazi za barabara kwa kipindi cha mwaka wa fedha wa 2024/2025 inayotekelezwa na Wakala wa barabara za vijiijini na mjinini (TARURA) Mkoa wa Pwani na kuongeza kuwa fedha zinazotolewa ziende kutekeleza  miradi hiyo na imalizike kwa wakati.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.