ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 28, 2024

MAMA AANGUA KILIO MOCHWARI BAADA YA KUMUONA MWANAWE ALIYEPIGWA RISASI KWENYE MAANDAMANO.


 Mama akilia nje ya chumba cha kuhifadhia maiti cha City (l). Waandamanaji wakifanya ishara kwa mikono wakati wa maandamano (r). 

Mwanamke mmoja ni miongoni mwa Wakenya wanaoumia baada ya mpendwa wake aliyejitokeza kwa maandamano hayo kuathiriwa na dhuluma za polisi.

Je Rex Mmasai alikufa vipi? 

Katika kisa sawia, Rex Masai, kijana kutoka kaunti ya Nairobi, alidaiwa kuuawa na afisa wa polisi alipokuwa akiandamana kupinga Mswada wa Fedha wa 2024.

Kijana huyo alipopigwa risasi, alikimbizwa katika Kituo cha Matibabu cha Bliss katikati mwa jiji, na baba yake, aliyetambulika kama Chrisphine Odawa, akaenda kumtazama. 

Cha kusikitisha alipoteza maisha na Chrisphine ambaye alihuzunika sana alieleza kuwa kifo cha mwanawe kilikuwa hasara kubwa kwa familia. 

Nini kingine unahitaji kujua kuhusu maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha Baadhi ya Wakenya walionyesha kufadhaika baada ya Rais William Ruto kuwashukuru polisi waliojibu maandamano hayo.

Nyumba ya Mbunge wa Molo Kimani Kuria ilichomwa moto na waandamanaji waliokuwa na hasira.

Charlene Ruto aliwakumbusha Wakenya kuzingatia Mswada wa Fedha wa 2024 kufuatia hotuba ya rais Mwigizaji.

 Lupita Nyong'o aliwapongeza Gen Zs kwa kushiriki maandamano ya amani na kuitaka serikali kuwasikiliza waandamanaji.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.