ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, June 4, 2024

ANAANDIKA MWANAMICHEZO MAXIMILLIAN

 


Wakati Jonas Mkude anasaini katika klabu ya Young Africans wapo watu waliongea mengi sana ikiwemo kuuliza maswali, Eti atacheza nafasi ya nani? mara Ohh amezeeka!! mara Mkude ameshamaliza soka lake hivyo hana tena motivation!!


Hii picha nadhani ina majibu mengi sana,

Picha ina maelezo ya kutosha sana kuhusu Atacheza nafasi ya nani?…. Hapo unaona ametoka kumaliza mechi akiwa na Dr. Aucho na walicheza wote.

.

Wanaosema kazeeka … Picha inawajibu kuwa muwa unakolea utamu unapokaa sana…. Tazama Penalty ya kikongwe aliyopiga😂😂 Yani Humu tuuu…. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.