Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Dkt. Seleman Jafo amewaagiza viongozi na wataalamu kusimamia na kukamilisha kwa wakati miradi mbalimbali ya maendeleo ili kuwaondolea changamoto zinazowakabili wananchi.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment