ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, January 10, 2024

KAYA ZAIDI ZA 130 ZILIZOVAMIA SHAMBA LA SERIKALI LA MITAMBA KIBAHA MJI ZATAKIWA KUONDOKA HARAKA

 VICTOR MASANGU/PWANI


Uongozi wa Halmashauri ya Mji Kibaha mkoani Pwani imetoa onyo kali na kuzitaka   kaya zaidi ya 130 ambazo zimepatiwa  notisi  mara mbili kuondoka haraka iwezekanavyo  kwenye eneo la  mitamba  kiwanja namba 34 lililopo kata ya  Pangani  ili kupisha zoezi la ubomoaji  lisilete hasara kwa wavamizi hao.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa  Halmashauri ya mji wa Kibaha
 wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusiana na  wavamizi wa  eneo hilo la shamba la mitamba  muda wa notisi  umeshapita na  kilichobaki ni  upimaji.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.