ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 2, 2023

"MSIONE KIMYA UMEME TUMEFIKIA HAPA" - DKT BITEKO

 NA ALBERT G.SENGO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko mnamo Oktoba 31, 2023 amewasilisha Azimio la Bunge la mapendekezo ya Tanzania kuridhia Mkataba wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati Jadidifu (IRENA). Je unafahamu kuwa kukamilika kwa mradi wa kimkakati wa Julius Nyerere kutasaidia nchi kuondokana na changamoto ya upatikanaji wa umeme. Aidha Mhe. Dkt.Doto Biteko amesema Sera ya Taifa ya Nishati ya mwaka 2015 inatambua rasilimali kubwa ya Nishati Jadidifu iliyopo nchini na changamoto ya utekelezaji wa Nishati hizo. Tizama sasa mradi umefikia asilimia 92.74.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.