ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, November 18, 2023

RAIS SAMIA AUWA NDEGE WATATU KWA JIWE MOJA AJA NA MELI INAYOBEBA TRENI

 ALBERT GSENGO/MWANZA

Serikali imesema uwekezaji wa miradi ya ujenzi na ukarabati wa meli na miundombinu yake unaofanywa na serikali ya awamu ya sita katika ziwa viktoria,Tanganyika na Nyasa umefikia takribani shilingi trilioni moja,uwekezaji ambao haujawahi kutokea tangu taifa lipate uhuru.










Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.