ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 3, 2023

MBUNGE MPINA ATAKA MAWAZIRI WAKAMATWE “WAZIRI HAJUI….SASA NAIBU WAZIRI ANAONGEA NINI?”

 

 

Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina akichangia taarifa tatu za kamati za kudumu za bunge za Kamati ya kudumu ya bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)na kamati ya kudumu ya bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) kuhusu Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Mwaka wa Fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2022.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.