ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, November 6, 2023

HATIMAYE MWANZA YAPATA VIJANA 22 WA SAFARI LAGER CUP SOCCER 2023

 NA ALBERT G SENGO/MWANZA

Zoezi la usaili wa Safari Lager Cup kwa jiji la Mwanza limefanyika leo kwenye kiwanja cha Nyamagana kuchakata na kung'amua vijana 22 kati ya zaidi ya vijana 380 waliojitokeza kwenye usajili uliofanyika Ijumaa ya Tarehe 3 na hatimaye Jumamosi ya Tarehe 4 kwenye viwanja hivyo kukawa na usaili kuwashindanisha vijana hao kujua nani na nani wanakwenda Jijini Dar es salaam ambako timu za washiriki wa mikoa ya Arusha, mbeya na Dar es salaam yenyewe zitakutana kushindana na hatimaye kutengeneza team ya wachezaji 22 cream ya Safari Lager Cup.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.