ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, July 19, 2023

WAZIRI NAPE AMUWAKIA TUNDU LISSU ''ETI MAWAZO YA RAIS NI MATOPE'' TUTAKUONYESHA TUNDU LISSU

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

JEH Kwa kauli za Tundu Lissu inafaa kumuita Rais Samia Rubish ikiwa - Sept 7 alipopigwa risasi, Samia akiwa Makamu wa Rais kwa Serikali ya awamu ya Tano iliyoongozwa na Hayati JPM, Samia ndie kiongozi pekee wa kitaifa alieenda kumsalimia jijini Nairobi bila kujali Boss wake kipindi hicho angelichukuliaje jambo hilo. - Feb 2022 Rais Samia Suluhu Hassan akiwa Rais wa Nchi alimuomba Tundu Lissu akutane nae Ubelgiji na kutoa maelekezo, arudishiwe stahiki zake zote zilizokua zimezuiliwa akiwa kama Mbunge na akarudishiwa ikiwemo kulipiwa madeni ya matibabu na Tundu Lissu alithibitsha hilo. - Mama samia akiwa rais karudisha demokrasia na tunaona vyama mbalimbali wanakosoa serikali na kutoa maoni yao. JE HAYA YOTE YANAFAA RAIS SAMIA KUITWA RUBBISH?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.