Heri ya siku Wanawake Dunia, Ewe #Mwanamkejembe Tambua #Mafanikioyamondaniyako2023 Simama Imara kama ambavyo Rais wetu Mh.Dkt @samia_suluhu_hassan amekuwa Mwanamke wa Mfano Tanzania, Afrika na Dunia nzima Hakika ni Mwanamke Jembe.
.
.
#Mwanamkejembe
#Mafanikioyamondaniyako2023
#jembefm2023kimewaka🔥🔥🔥
Tupe maoni yako

0 comments:
Post a Comment