ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 20, 2023

VIDEO - RONALDO, MESSI WAONESHANA UBABE.

 PSG Vs All Nassr And Elhilal 5-4 | All Goals & Highlights 2023 HD

Lionel Messi na wachezaji wenzake wa PSG wamewashinda nyota wa Saudia akiwemo Cristiano Ronaldo katika mchezo wa kusisimua wa mabao tisa.


Mchezo huo ulijaa vituko na vivutio lukuki, ulishuhudia Messi, Ronaldo na Kylian Mbappe wakifunga bao.

Ikicheza na wachezaji 10 mara baada ya mmoja wa wachezaji wa PSG kulamba umeme, katika dakika ya 39 na Neymar akakosa penalti lakini bado waliweza kushinda mechi ya kirafiki ya Alhamisi huko Saudi Arabia.

Mbele ya umati wa watu uliookuwa ukishangilia mwanzo mwisho hivyo kutengeneza muonekano wa tamasha kubwa ulishuhudia Messi, Mbappe na Ronaldo wakiwa miongoni mwa wafungaji waliopasia nyavu kiufundi na kwa style tofauti.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.