ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 6, 2023

'TULIMISS SANA MIKUTANO YA HADHARA' CCM MKOA WA MWANZA YATOA TAMKO KUMPONGEZA RAIS SAMIA.

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

1. Hatua hii Jeh! inatija yoyote kwa CCM au inakuja mkiipokea kwa shingo upande? 2. Unataka kutuambia kwamba nanyi pia wakati wa katazo kwa namna moja au nyingine mlikuwa mnaathirika na hiyo hatua? 3. Vyama vingine vya siasa vilikuwa vikiamini kuwa Chama Cha Mapinduzi pamoja na katazo kilikuwa kikiendelea na mikutano hili limekaa vipi? 4. Vipi hali ya utekelezaji wa Ilani mkoa umefikia mahala gani?

Mwenyekit wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mwanza Reuben Sixbert, amezungumza mapema hii leo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.