ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, January 21, 2023

'SUGU MOTO CHINI' HECHE, MSIGWA, RUGE 'CHADEMA TULIKUWA KIFUNGONI'

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

Viongozi na makada wengine wa Chadema waliohudhuria mkutano huo ni pamoja na Katibu Mkuu, John Mnyika na wajumbe wa Kamati Kuu wakiwemo wabunge wa zamani Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, Mchungaji Peter Msigwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa chama hicho (Bawacha), Sharifa Suleiman, katibu wake, Catherine Ruge, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee (Bazecha), Hashim Issa Juma na wabunge wa zamani Suzan Kiwanga na Suzan Lyimo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.