ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 19, 2023

MELI MPYA ZINAJENGWA LAKINI MAKEPTENI NA MAINJINIA WETU WATAWEZA KUZIENDESHA - MAKUBALIANO YASAINIWA

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

Kampuni ya huduma za meli nchini (MSCL) pamoja na wakala wa uwezeshaji wa usafiri wa ushoroba wa kati (CCTTFA) zimetiliana saini makubaliano ya ushirikiano yanayolenga kuongeza ufanisi katika uendeshaji wa kampuni hiyo. Makubaliano hayo yatawezesha kampuni ya MSCL kupokea shilingi millioni 165.6 kutoka kwa wakala huo zitakazotumika kugharamia shughuli za utafiti wa masoko katika ziwa victoria na ziwa tanganyika pamoja na kutoa mafunzo kwa mabaharia. Makubaliano ya ushirikiano baina ya kampuni ya MSCL pamoja na wakala wa CCTTFA yamesainiwa Jijini mwanza na yatadumu kwa muda wa miaka mitatu.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.