ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, January 18, 2023

MBARAWA AKEMEA HUJUMA UJENZI MIUNDOMBINU YA DARAJA LA MAGUFULI NA MV MWANZA HAPA KAZI TU

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amekemea vitendo vya hujuma katika mradi wa ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi, maarufu kama daraja la John Pombe Magufuli unaotekelezwa na serikali kwa gharama ya zaidi ya shilingi Bilioni 700.

Katika ziara hiyo pia Waziri amefanya ukaguzi wa maendeleo ya miradi ya kimkakati inayotekelezwa mkoani Mwanza, ukiwemo wa ujenzi wa meli ya Mv. Mwanza Hapa Kazi Tu unaogharimu shilingi bilioni 107.



Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.