Tazama magoli yote matatu yaliyofungwa kwenye fainali ya #MapinduziCup2023 katika dimba la Amaan Zanzibar Mlandege ni mabingwa kwa ushindi wa mabao 1-2 Wafungaji ni Bashima Saite, Abdulnassir Mohamed kwa upande wa Mlandege na Francy Kazadi kwa upande wa Singida Big Stars
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment