ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, January 1, 2023

KUTOKA KUNYWA TOPE SASA NI MWAKA MPYA WA MAJI SAFI NA SALAMA.

 NA ALBERT G.SENGO/MWANZA

Wakazi wa kijiji cha Mahina Kati wilayani Nyamagana mkoani hapa wameanza kuondokana na kadhia ya muda mrefu ya kupata maji baada ya kukabidhiwa kisima cha maji safi na salama. Akikabidhi mradi huo mbele ya wananchi na viongozi wa kijiji, Mwakilishi wa Shirika la “The desk & chair foundation” tawi la Mwanza Sibtain Meghjee amesema kuwa shirika lake liko kwenye mkakati wa kuchimba visima vingine vinne (4) kwenye maeneo tofauti ii kupunguza msongamano kwenye kisima hicho kipya cha kwanza.








Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.