ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 30, 2022

WANAHABARI MWANZA WATWAA TUZO.

 


TAASISI ya ADLG imetoa tuzo mbili kwa waandishi wa habari George Binagi @gbpazo kutoka BMG Online @bmghabari pamoja na Nashon Kennedy kutoka Daily News ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wao katika uandishi wa habari za Utawala Bora.


Tuzo hizo zimekabidhiwa na Mkuu wa Wilaya Magu, Salum Kalli kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Mwanza, Adam Malima kwenye halfa ya Waandishi wa Habari Mkoa Mwanza iliyofanyika Usiku wa Disemba 29, 2022.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.