ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 22, 2022

JEH NI YANGA AU AZAM KUVAA JEZI NYEUSI MCHEZO UJAO AFISA HABARI AZAM FC AFUNGUKA.

 NA ALBERT G.SENGO/ MWANZA

1. Ice cream na Dhahabu haviendani kabisa kwanini hamkuvuna pointi zote 6 za Kanda ya Ziwa? 2. Vipi Mbio za Ubingwa wa NBC Premium League, Jeh bado mnaamini kuwa Azam mpo pazuri? 3. "Pointi 7 siyo nyingi kwetu, 3 kati ya hizo tunazichukuwa Christmas mbele yao zinabaki 4" 4. Mmetangaza mapema kabisa kwamba mtavaa jezi nyeusi mchezo dhidi ya Yanga, Jeh msimamo wenu bado ni huo huo? 5. Dirisha la usajili lijalo, Feisal anakwenda Azam? Afisa Habari wa Azam Fc, Hashim Ibwe amezungumza na Drive Mix ya Jembe Fm Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.