Na Albert G.Sengo Kufuatia kukithiri kwa mikasa ya mauaji na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake , akiwa kama mzazi, mlezi na kiongozi IGP Simon Sirro anaamua kuzama mtaani ambapo hapa anateta na baadhi ya madereva wa bodaboda wanao wakilisha kundi la wanaume katika jamii. #JembeHabari #JeshiLaPolisiTanzania #MauajiTanzania #TokomezaUkatili #HabariZilizoTufikia
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment