ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, January 5, 2020

PROF PLO LUMUMBA SPEAKS TO AFRICAN LEADERS.


Patrick Loch Otieno Lumumba (alizaliwa 17 Julai 1962) ni Mkenya aliyekuwa Mkurugenzi wa Tume ya Kupambana na Rushwa ya Kenya kutoka Septemba 2010 hadi Agosti 2011 na sasa ni Mkurugenzi wa Shule ya Sheria ya Kenya tangu mwaka 2014.

Lumumba ni mwanasheria mwenye ujuzi wa kuzungumza hadharani, na ana shahada ya Udaktari wa Falsafa katika sheria za bahari kutoka Chuo Kikuu cha Ghen nchini Ubelgiji.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.