ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 25, 2019

BREAKING NEWS:- MASHABIKI WA YANGA WAPATA AJALI SAFARINI KUELEKEA MWANZA


"Habari za saa hizi wana Yanga Kuna habari zinaenezwa kuwa majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Tumbi, habari hizo sio za kweli, wagonjwa wamepatiwa huduma ya kwanza na Daktari tuliye naye  safarini na sasa tunaendelea na safari baada ya kampuni ya ile gari kutupatia gari nyingine, kwa hiyo tumeamua kuendelea na safari ili kutimiza lengo la kuisapoti timu yetu YANGA, kama kutakuwa na tatizo tutapeana taarifa tunawaomba mtuombee kwa Mwenyezi Mungu ili tufike salama" Han 's Kashata amepenyeza ujumbe 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.