ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 9, 2019

KAMA UKO MWANZA - HII HAPA NJIA RAHISI YA KUSAJILI BIASHARA YAKO AU JINA LA BIASHARA



Katika kuwahakikishia wajasiliamali na wawekezaji sekta ndogo na kubwa ya viwanda kwamba wanatekeleza shughuli zao kwa ufanisi na tija kwa taifa kupitia Sera inayosimamiwa na Serikali ya awamu ya tano inakuza uchumi kupitia viwanda, wakala wa  usajili wa biashara na leseni (Brela), msimu huu wa Nanenane wanamiliki banda lao la huduma kwenye maonesho hayo yenye msisimko yanayofanyika pia mkoani Mwanza katika viwanja vya Nyamhongolo wilayani Nyamagana.

Brela imeweka utaratibu mzuri ulio rahisi kwaajili usajili wa makapuni na viwanda.

ZAIDI BOFYA PLAY.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.