ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, April 1, 2019

MBUNGE LEMA USO KWA USO NA RAIS MAGUFULI.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amehudhuria kutoa heshma za mwisho kwenye msiba  wa marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam. Katika kuhudhuria msiba huo amekutana na kuzungumza jambo na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema wakati akitoka.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.