ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 14, 2019

NEC WATHIBITISHA JOSHUA NASSARI (CHADEMA) KUVULIWA UBUNGE.


Tume ya Uchaguzi (NEC) imethibitisha kupokea barua kutoka kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai kuhusu kuvuliwa ubunge kwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.