ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 2, 2019

CCM NJOMBE YAMPONGEZA LOWASA


Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Njombe Kimepinga Vikali Taarifa Zinazosambaa Mitandaoni na Mabishano ya Baadhi ya Wanasiasa Wanaomtuhumu Aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowasa Kurejea CCM Kuwa Amemkimbia Tundu Lissu Aliyetangaza Kuwa Endapo Chama Chake Kitampa Ridhaa ya Kugombea Urais Mwaka 2020 Basi Atagombea.

Mwaka 2015 Edward Lowasa Baada ya Jina Lake Kukatwa Kwenye Harakati za Kutaka Kugombea Urais Kupitia CCM Alitimkia CHADEMA Na Kuhudumu Katika Chama Hicho Kwa Kipindi Cha Takribani Miaka Mitatu Sasa na Hatmaye Jana Ametangaza Kurejea Kwenye Chama Chake Cha CCM.

TAARIFA ZAIDI NA AMIRI KILAGALILA

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.