ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 7, 2018

MWILI UKIKAA SIKU 14 MOCHWARI SISI TUNAUZIKA

NJOMBE/GSENGOtV
Serikali Mkoani Njombe Imewataka Watanzania Kujenga Mazoea ya Kutembea na Nyaraka Zote Muhimu za Utambulisho Wao Pindi Wanapokuwa Safarini Ili Kurahisisha Mawasiliano Wakati Linapotokea Jambo Lolote Linalohitaji Mawasiliano ya Dharura.
Wito Huo Umetolewa na Afisa Ustawi wa Jamii Kutoka Hospitali ya Rufaa Ya Kibena Mkoani Njombe Bwana Samson Sollo Wakati Akizungumza na Vyombo Vya Habari Juu Ya Mkazi wa Mmoja wa Songea Aliyefahamika Kwa Majina ya George Lutuhi Ambaye Amefariki Akiwa Anapatiwa Matibabu na Hakuna Ndugu Aliyejitokeza Hadi Sasa.
TAARIFA ZAIDI NA AMIRI KILAGALILA

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.