ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 8, 2018

MWILI WA MAMA MERCY ANNA MENGI UMEWASILI NCHINI KUAGWA LEO LUGALO.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameungana na Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP Dkt.  Reginald Mengi, familia, ndugu, jamaa na marafiki katika kupokea Mwili wa mmoja wa waanzilishi wa makampuni ya IPP Mama Mercy Anna Mengi.

Mwili wa marehemu, Mama Mercy Anna Mengi ukiwa umewasili katika viwanja vya ndege vya Mw. J.K Nyerere, jijini Dar es salaam na kuzungukwa na waombolezaji.

Mwili huo umewasili nchini majira ya saa 9 Alasiri leo Novemba 7, ukitokea nchini Afrika Kusini ambapo alikuwa akipatiwa matibabu katika hosptali ya Mediclinic Morningside ya Johannesburg na alifariki duniani tarehe 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.