ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, August 7, 2018

TOKA KANDA YA ZIWA HAWA HAPA WASHINDI WA KWANZA JISHINDIE MAMILIONI NA PEPSI

GSENGOtV
Hatimaye washindi wa mamilioni ya vinywaji vya Kampuni ya SBC Tanzania Limited, watengenezaji na wasambazaji wa vinywaji baridi aina ya Pepsi, Mirinda, 7up, Mountain Dew na Evervess, wameanza kujitokeza mara baada ya kujishindia zawadi toka vinywaji hivyo. Chekshia washindi walivyojinasibu mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao.
Shindano hili litaendeshwa Kwa muda wa wiki sita kuanzia lilipozinduliwa rasmi mnamo tarehe 01/08/18 hadi 16/09/18 na mikoa itakayo nufaika na mchezo ni  Mwanza, Shinyanga, Mara, Simiyu, Tabora, Geita, Kigoma na Kagera. 




Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.