ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 17, 2018

SIMBA KUIKABILI MTIBWA NGAO YA JAMII, BILA YA BOCCO, KAPOMBE.



NA GSENGOtV

Klabu ya Simba FC ya Dar es salaam imewasili jijini Mwanza hii leo tayari kuvaana na wanatamtam wa Manungu Mtibwa Sugar kwenye mnatanange wa Ngao ya Jamii unaoarajiwa kuchezwa jumamosi hii kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Akiongea na wanahabari muda mfipi baada ya kwasili Kocha mbelgiji Patrick Aussems  amesema kuwa klabu hiyo licha kuwakosa nahodha John Boko, Shomali Kapombe ambao wote ni majeruhi amebainisha utayari wa kikosi chake na kujinasibu kuondoka na kombe hilo ikiwa ni  kujiweka tayari kunyakua tena kombe la ligi kuu msimu ujao.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.