ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 7, 2018

VIDEO;- MWANZO HADI MWISHO ILIVYOKUWA MISS MWANZA 2018 NA JINSI ALIVYOPATIKANA

GSENGOtV
Hatimaye Miss Mwanza 2018 imefikia tamati kwa mshindi kupatikana.
Kinyanganyiro cha Shindano la kumsaka mrembo wa shindano hilo kilizaa matunda mnamo majira ya saa nane na nusu za usiku wa kuamkia jumamosi ya tarehe 7 ndani ya Rock City Mall Mwanza kwa mrembo Sharon Headlom kuibuka kidedea baada ya kuwabwaga wenzake 13.
Mepal Management ndio waandaaji wa Shindano hilo lililokuwa na mvuto wa aina yake.

Mgeni rasmi wa Miss Mwanza 2018 Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Bi. Marry Tesha akifungua shindano hilo kwa mwaka huu katika viwanja vya ukumbi wa Rock City Mall jijini Mwanza.
Mkurugenzi wa Mepal Management Bi. Pamela akitoa shukurani kwa muitikio wa wakazi wa Mwanza na wageni.
Vazi la ubinifu. 
Mrembo ndani ya kitenge.
Muonekano wa nyuma kwa vazi lake.
Majaji wa usiku wa kumsaka Miss Mwanza 2018 ndiyo hawa.
Vazi la usiku kwa warembo.
Pigo la usiku.
Muonekano maridadi.
Warembi katika vazi la usiku.
Minato.
Mikogo.
Kwa kwa kwa.......
Safu ya washiriki wote 14 kinyang'anyiro cha kumsaka Miss Mwanza 2018.
Engo nyingine.
Hamissa Mobetto akivuta pumzi kuwataja Top 5 Bora.
14 wote ndiyo hawa hapa.
Hatimaye Top 5 ya Miss Mwanza 2018 ikapatikana kuelekea kumpata mshindi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.