ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, July 17, 2018

MBUNGE WA NYAMAGANA STANSLAUS MABULA AMEWATAKA WANAOMBEZA WAMPIME KWA UTENDAJI WAKE NA UTEKELEZAJI WA ILANI NA SI KWA HILA.


GSENGOtV
πŸ•Έ.....Mapema leo asubuhi Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Mhe. Stanslaus Mabula alipotembelea kituo cha Jembe Fm 93.7 Mwanza kipindi cha #Mchakamchaka ikiwa ni ziara yake kuvitembelea vyombo mbalimbali vya habari mkoani Mwanza. . . 

Marudio ya mahojiano hayo kusikika kesho Jumatano saa 4 usiku mara baada ya #SportsRipoti HAPA JEMBE FM.

Kutoka kulia ni Mhe. Mabula na watangazaji wa kipindi husika ni @florenciapeter @deejaykflip na @jimmyfbi123

ZIARA YA MBUNGE JIMBO LA NYAMAGANA KATIKA TAASIS ZA HABARI KWANZIA JUMATATU  TAREHE 16.07.2018 HADI TAREHE 18.07.2018

Ndugu wana Nyamagana na watanzania wote kwa ujuma, Mbunge Jimbo la Nyamagana Mhe Stanslaus Mabula ameanza leo tarehe 16.07.2018 Ziara ya siku tatu katika Vyombo Vya habari kwa siku tatu hadi mnamo siku ya Ijumatano tarehe 18.07.2018. 

Dhima ya ziara hii ni kuelewa ofisi zao,  kujenga Mahusiano bora na taasis za habari na wanahabari wote kwa ujumla. Katika ziara hii pia atapata fursa ya kushiriki baadhi ya vipindi katika kuelezea utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi wa CCM 2015-2020。

RATIBA YA TAREHE 17.08.2018

Saa 1:00-03:00 Asubuhi  Jembe Fm 

Saa 3:00-03:30
Gsengo Blog

Saa 03:30-04:00 Asubuhi
Kazi Maalum

Saa 04:00-4:30 Asubuhi
Gazeti la Uhuru
Gazeti la Mzalendo
Radio Uhuru

Saa 4:30-5:00 Asubuhi
Lake Fm

Saa 5:00-6:00 Mchana
Ofisi za IPP MEDIA 
ITV
Radio One
East African 
Gazeti la Nipashe

Saa 6:00-7:00 Mchana
 Gazeti la Kanda Mzawa

Saa 7:00-8:00
Barmeda Tv

Kila siku tutawajuza ratiba ya ziara.

Asanteni πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ™πŸΌ

Imetolewa na
Ofisi ya Mbunge

Jimbo la NyamaganaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.