ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 27, 2018

ABDUL NONDO AKAMATWA NA POLISI.


Taarifa ya kuifahamu ni kumhusu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo ambapo inadaiwa amekamatwa tena na Polisi na kulala katika Kituo cha Polisi Chuo Kikuu DSM.

Taarifa iliyotolewa na TSNP inasema Nondo amekamatwa usiku jana July 26 majira ya saa tatu usiku akiwa chuoni hapo pamoja na baadhi ya wanafunzi wenzie.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.