ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, May 30, 2018

MARUFUKU YATOLEWA:- KUHUSU MAROLI YABEBAYO WATU KWENYE MISIBA.

Jeshi la polisi mkoani Mbeya limepiga marufuku matumizi ya malori kwenye misiba na minadani kwa madai kuwa ni chanzo cha ajali.

Kamanda wa Polisi mkoani humo Mussa Taib ametoa kauli hiyo Jijini Mbeya wakati akizungumza na madereva wa bodaboda na bajaj.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.