ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, April 10, 2018

VODACOM YAKABIDHI BAISKELI 42 KWA MAWAKALA WAKE JIJINI MWANZA.

 Mkuu wa Vodacom kanda ya Ziwa Ayubu Kalufya, akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi baiskeli kwa mawakala wa kusajili line za simu jijini Mwanza jana, ambapo baiskeli 42 zilitolewa na Vodacom.
Mkuu wa Oparesheni za kikanda wa Vodacom Domician Mkama, akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi baiskeli kwa mawakala wa kusajili line za simu jijini Mwanza jana, ambapo baiskeli 42 zilitolewa na Vodacom.

Mmoja kati ya washindi 42 wa kuwasajili watumiaji wapya wa line za Vodacom Pascal Laurent, akipokea cheti na Baiskeli kutoka kwa  Afisa Masoko wa jiji la Mwanza John Kilunge,baiskeli hiyo itakayomuwezesha kurahisisha kazi yake. kushoto ni Mkuu wa Vodacom kanda ya Ziwa Ayubu Kalufya na Mkuu wa Oparesheni za kikanda wa Vodacom Domician Mkama wakishuhudia.

 Mmoja kati ya washindi 42 wa kuwasajili watumiaji wapya wa line za Vodacom Sostenes Mawazo, akipongezwa na  Mkuu wa Oparesheni za kikanda wa Vodacom Domician Mkama(kulia) wakati wa hafla ya makabidhiano, kushoto ni  Mkuu wa Vodacom kanda ya Ziwa Ayubu Kalufya na  Afisa Masoko wa jiji la Mwanza John Kilunge(wa pili kulia).
Mmoja kati ya washindi 42 wa kuwasajili watumiaji wapya wa line za Vodacom Witness Christopher, akipokea cheti na Baiskeli kutoka kwa  Afisa Masoko wa jiji la Mwanza John Kilunge,baiskeli hiyo itakayomuwezesha kurahisisha kazi yake.kushoto ni Mkuu wa Vodacom kanda ya Ziwa Ayubu Kalufya na Mkuu wa Oparesheni za kikanda wa Vodacom Domician Mkama wakishuhudia.
 Zawadi za washindi.
 Zawadi za washindi.
 Washindi na zawadi zao. 
 Picha ya pamoja meza kuu na mawakala 
Eneo la tukio.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.