ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, April 14, 2018

PUNGUZA UZITO NDANI YA SIKU 90 TU.




Wakazi wa Mwanza wanayofursa ya kupunguza uzito na unene ndani ya siku tisini tu ikiwa ni pamoja na kujishindia mizawadi.........
Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yetu ya kisasa. Uzito unapozidi kiwango ambacho kinahitajika kwa mtu husika kunachangia matatizo mengi ya kiafya. Watu wenye uzito mkubwa wamekuwa wakijaribu njia nyingi tofauti za kupunguza uzito bila ya mafanikio aidha kwasababu ya kukata tamaa mapema kabla ya matokeo au kwa kufuata njia zisizo sahihi na namna zisizo sahihi.

Baadhi ya matatizo yanayosababishwa na uzito mkubwa ni Kisukari ,Shinikizo la Juu la Damu na magonjwa mengine ya moyo. 
Kama nawe unataabishwa na uzito na unene kwa kipindi kirefu na umetumia njia zote zimedunda, sasa kwa matokeo kupitia EDMARK shiriki mpango huu uliosuluhisho la yote hayo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.