ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 15, 2018

MASAUNI AZINDUA VITUO MWENDO SITA VYA POLISI,AWAASA WANANCHI KUJIKITA KWENYE SHUGHULI ZA MAENDELEO

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto)akisikiliza maelezo ya Kituo Mwendo cha polisi kutoka kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Jumanne Muliro (katikati), baada ya kuzindua moja ya vituohivyo ambavyo idadi yake ni sita, lengo ikiwa vitumike katika maeneo ya mkoahuo kudhibiti uhalifu. Kulia ni Kamanda wa Kanda Maalumu ya Polisi Dar esSalaam,  Lazaro  Mambosasa.  Tukio   hilo   limefanyika   leo,  jijini  Dar  es  Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Naibu   Waziri   wa   Mambo   ya   Ndani   ya   Nchi,   Mhandisi   Hamad   Masauni,akizungumza   wakati   wa   Uzinduzi   wa   Vituo   Mwendo   sita   vya   polisi   ambavyovimegawiwa kwa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni ili kuweza kuzuia na kupambanana uhalifu huku akiwaasa wananchi kujikita kwenye shughuli za maendeleo. Tukiohilo limefanyika leo, jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndaniya Nchi 

Kamishna   wa   Operesheni   na   Mafunzo   wa   Jeshi   la   Polisi,Nsato   Marijaniakizungumza   wakati   wa   Uzinduzi   wa   Vituo   Mwendo   sita   vya   polisi   ambavyovimegawiwa kwa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni ili kuweza kuzuia na kupambanana uhalifu . Tukio hilo limefanyika leo, jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara yaMambo ya Ndani ya Nchi

Kamanda   wa   Kanda   Maalumu   ya   Polisi   Dar   es   Salaam,   Lazaro   Mambosasa,akizungumza   wakati   wa   Uzinduzi   wa   Vituo   Mwendo   sita   vya   polisi   ambavyovimegawiwa kwa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni ili kuweza kuzuia na kupambanana uhalifu . Tukio hilo limefanyika leo, jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara yaMambo ya Ndani ya Nchi.

Askari   wa   Kikundi   cha   Ulinzi   Shirikishi   kutoka   Mkoa   wa   Polisi   Kinondoni,wakimsikiliza  Naibu   Waziri   wa   Mambo   ya   Ndani   ya   Nchi,   Mhandisi   HamadMasauni (hayupo pichani), wakati wa Uzinduzi wa Vituo Mwendo sita vya polisiambavyo vimegawiwa kwa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni ili kuweza kuzuia nakupambana na uhalifu. Tukio hilo limefanyika leo, jijini Dar es Salaam. Picha naWizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Moja   ya   Vituo   Mwendo   vya   Polisi   vilivyozinduliwa   leo   na  Naibu   Waziri   waMambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(hayupo pichani), ambavyovitatumika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Kipolisi Kinondoni katika kuzuia nakupambana na uhalifu. Tukio hilo limefanyika leo, jijini Dar es Salaam Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YASERIKALI -WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.