ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, January 8, 2018

YANGA YATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI MSIBA WA ATHUMAN CHAMA.

Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga, Charles Mkwasa ametuma salama za rambirambi kwa familia ya marehemu Athmani Juma Chama ‘Jogoo ‘ kufuatia kifo cha nyota huyo wa zamani wa Yanga kilichotokea katika hospital ya Muhimbili Jana usiku.
Enzi za uhai wake Athman Juma Chama 'Jogoo'

Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga, Charles Mkwasa ametuma salama za rambirambi kwa familia ya marehemu Athmani Juma Chama ‘Jogoo ‘ kufuatia kifo cha nyota huyo wa zamani wa Yanga kilichotokea katika hospital ya Muhimbili Jana usiku..
Kutoka kushoto waliosimama: Godwin Aswile, Issa Athumani, Dotto Mokili, Said Zimbwe “Terry Butcher”,  Mohamed Rashid, John Bosco, Abeid Mziba, John Manyika (Daktari) na John Mgombelo (meneja).

Waliochuchumaa kutoka kushoto: Juma Pondamali, Athumani Chama ‘Jogoo’ Fred Felix Minziro, Athumani China, Muhesa Kihwelo, Aboubakar Salum ‘Sure Boy’, John Alex, Justin Mtekere na Sahau Kambi.

“Nawaomba wana yanga wote tuungane kwa pamoja na familia ya marehemu katika kipindi hiki kigumu” Chama alikuwa mchezaji mahiri wa Yanga na alifanya mengi mazuri kwa timu na Taifa enzi za uhai wake”- Mkwasa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.