ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, January 9, 2018

BREAKING NEWS:- MAGUFULI USO KWA USO NA LOWASSA:


Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Baada ya mazungumzo hayo Bw Lowassa amempongeza Dkt Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya, kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu.

“Nimepata faraja sana kuja hapa Ikulu kuonana na Mhe. Rais, tumezungumza nae na nimempongeza kwa kazi nzuri anayoifanya, lazima tukiri anafanya kazi nzuri na anahitaji kutiwa moyo.”

Picha/Ikulu, Tanzania #magufuli #ikulu #lowassa #tanzania #JembeHabari @harithjaha




Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.