ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 11, 2018

JENGO LA BENKI KUU TAWI LA MWANZA AL- MANUSURA KUTEKETEA NA MOTO



Jeshi la Uokaji Zimamoto Mz mapema asubuhi ya leo limefanikiwa kuudhibiti moto uliozuka kutoka chumba kimojawapo kilichopo ghorofa ya pili ndani ya jengo la Benki Kuu Tawi la Mwanza, lililoko katika barabara ya Nyerere jijini hapa.

Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Kamanda wa Zimamoto mkoa wa Mwanza Andrew James Mbate amezungumza nasi juu ya chanzo na harakati zao. 

#KAZINANGOMA ya 93.7 @jembefm inamzigo mzima.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.