ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 4, 2018

ARSENAL, CHELSEA NI BONGE LA MECHI, MWISHO IMEKUWA MABAO 2-2



Arsenal na Chelsea zimemaliza mechi yao kwa sare ya mabao 2-2 kwenye Uwanja wa Emirates, London/
Mechi hiyo ya Ligi Kuu England ilikuwa na mvuto mkubwa baada ya mabao yote manne kufungwa katika kipindi cha pili.

Arsenal walianza kufunga kupitia Jack Wilshere lakini Chelsea wakasawazisha kupitia mkwaju wa penalti wa Eden Hazard.

Chelsea walifanikiwa kuongeza kupitia Marco Alonso dakika zikiwa zinayoyoma, beki wa kulia wa Arsenal, Hector Bellerin akasawazisha katika dakika za nyongeza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.