ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, November 15, 2017

ZAIDI YA MADAKTARI 300 KUWEKA NANGA NCHINI KWAAJILI YA KUTOA TIBA BURE DAR ES SALAAM



NIMEANDIKA HATA KWENYE UKURASA WANGU WA INSTAGRAM

Kipekee nilipo pata bango la tangazo kwa wananchi wakazi wa Dar es salaam kujitokeza kupima afya kwaajili ya zoezi lijalo la afya nilipuuza, na kukejeli kwa hali ya Juu hatua hiyo, mmh....

Lakini sasa, kadri siku zinavyosonga ule mpango mkakati nashuhudia mbona unasonga na nuru kali inaangaza kunionyesha mbele kulivyo...?!!?. . 

Daaaaah kweli #Wagenga walisema "usikatae wito, kataa...... " 

TAARIFA za ujio wa ugeni wa meli yenye hospitali na madaktari zaidi ya 300 kutoka China nao watatoa tiba kwa wananchi wote waliopima na kugundulika kuwa na matatizo iwe yale sugu, makubwa hadi madogo. .

Big up RC @paulmakonda . CC:-@jembenijembe @gijegije @gsengoTv @jacquelineshuma @prince_nzwalla @mackjumanne @deejaykflip #mchakamchaka

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.